Ufunuo 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake kama ya dubu na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.

Ufunuo 13

Ufunuo 13:1-11