Ufunuo 13:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.

Ufunuo 13

Ufunuo 13:16-18