Ufunuo 12:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa wengine wa huyo mama, yaani wote wanaotii amri za Mungu na kumshuhudia Yesu.

Ufunuo 12

Ufunuo 12:7-18