Ufunuo 11:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini uache ukumbi ulio nje ya hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine, ambao wataukanyaga mji mtakatifu kwa muda wa miezi arubaini na miwili.

Ufunuo 11

Ufunuo 11:1-4