Ufunuo 10:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, “Kichukue, ukile. Kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!”

Ufunuo 10

Ufunuo 10:3-11