Ufunuo 1:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Heri yake mtu anayesoma kitabu hiki chenye maneno ya ujumbe wa kinabii; na heri yao wanaosikia na kushika yaliyoandikwa humu, maana wakati wa mambo haya umekaribia.

Ufunuo 1

Ufunuo 1:1-13