Ufunuo 1:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Siri ya nyota zile saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia na siri ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu, ni hii: Zile nyota saba ni malaika wa makanisa; na vile vinara saba vya taa vya dhahabu ni makanisa saba.

Ufunuo 1

Ufunuo 1:13-20