Tito 1:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu kama hao hujidai kwamba wanamjua Mungu, lakini kwa matendo yao humkana. Ni watu wa kuchukiza mno na wakaidi, hawafai kwa jambo lolote jema.

Tito 1

Tito 1:7-16