Nehemia 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ezra akamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu na watu wote wakaitikia “Amina! Amina!” Huku wakiwa wameinua mikono yao juu. Kisha wakamsujudia Mungu huku nyuso zao zikigusa ardhi.

Nehemia 8

Nehemia 8:1-10