Nehemia 7:26-44 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Watu wa miji ifuatayo pia walirudi: Wa mji wa Bethlehemu na Netofa: 188;

27. wa mji wa Anathothi: 128;

28. wa mji wa Beth-azmawethi: 42;

29. wa miji ya Kiriath-yearimu, Kefira na Beerothi: 743;

30. wa miji ya Rama na Geba: 621;

31. wa mji wa Mikmashi: 122;

32. wa miji ya Betheli na Ai: 123;

33. wa mji mwingine wa Nebo: 52;

34. wa mji mwingine wa Elamu: 1,254;

35. wa mji wa Harimu: 320;

36. wa mji wa Yeriko: 345;

37. wa miji ya Lodi, Hadidi na Ono: 721;

38. wa mji wa Senaa: 3,930.

39. Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 973;

40. wa ukoo wa Imeri: 1,052;

41. wa ukoo wa Pashuri: 1247;

42. wa ukoo wa Harimu: 1017.

43. Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

44. Waimbaji: Wazawa wa Asafu walikuwa 148.

Nehemia 7