Nehemia 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Walifanya hivyo ili kututisha wakifikiri: “Hawataendelea na kazi, kwa hiyo, hakuna litakalotendeka.” Nikamwomba Mungu wangu nikisema, “Lakini sasa, ee Mungu, nakuomba unipe nguvu.”

Nehemia 6

Nehemia 6:7-16