Nehemia 5:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao wakaitikia na kusema, “Tutawarudishia na hatutawadai chochote. Tutafanya kama ulivyosema.” Nikawaita makuhani mbele, na viongozi wote wakaapa mbele ya makuhani kufanya kama walivyoahidi.

Nehemia 5

Nehemia 5:7-16