Nehemia 3:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Sehemu inayofuata hadi kwenye makaburi ya Daudi, bwawa na majengo ya jeshi ilijengwa upya na Nehemia, mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya wilaya ya Beth-suri.

Nehemia 3

Nehemia 3:10-24