Nehemia 13:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Nehemia 13

Nehemia 13:25-31