Nehemia 12:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Walawi: Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda na Matania, ambaye alihusika na usimamizi wa nyimbo za shukrani akishirikiana na ndugu zake.

9. Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.

10. Yeshua alimzaa Yoyakimu, Yoyakimu alimzaa Eliashibu, Eliashibu alimzaa Yoyada,

11. Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

Nehemia 12