Nehemia 12:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu hao waliishi wakati wa Yoyakimu, mwana wa Yeshua mwana wa Yosadaki na pia wakati wa Nehemia aliyekuwa mtawala wa mkoa; na hata wakati wa Ezra kuhani na mwandishi.

Nehemia 12

Nehemia 12:17-34