Nehemia 12:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakuu wa jamaa za Walawi, waliorodheshwa; vilevile wakati wa utawala wa mfalme Dario wakuu wa jamaa za makuhani waliorodheshwa.

Nehemia 12

Nehemia 12:21-28