Nehemia 12:12-20 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Yoyakimu alipokuwa kuhani mkuu, makuhani wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;

13. wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani;

14. wa Maluki, Yonathani; wa Shebania, Yosefu;

15. wa Harimu, Adna; wa Merayothi, Helkai;

16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;

17. wa Abiya, Zikri; ukoo wa Miniamini; wa Moadia, Piltai;

18. wa Bilga, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;

19. wa Yoaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;

20. wa Salai, Kalai; wa Amoki, Eberi;

Nehemia 12