Nehemia 12:1-8 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ifuatayo ni orodha ya makuhani na Walawi waliorudi kutoka uhamishoni pamoja na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na kuhani mkuu Yeshua.Makuhani: Seraya, Yeremia, Ezra,

2. Amaria, Maluki, Hatushi,

3. Shekania, Rehumu, Meremothi,

4. Ido, Ginethoni, Abiya,

5. Miyamini, Maadia, Bilga,

6. Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,

7. Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakuu wa makuhani na ndugu zao wakati wa Yeshua.

8. Walawi: Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda na Matania, ambaye alihusika na usimamizi wa nyimbo za shukrani akishirikiana na ndugu zake.

Nehemia 12