Nehemia 10:9-22 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

10. Na ndugu zao waliotia sahihi ni: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

11. Mika, Rehobu, Hashabia,

12. Zakuri, Sherebia, Shebania,

13. Hodia, Bani na Beninu.

14. Majina ya viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-moabu, Elamu, Zatu, Bani,

15. Buni, Azgadi, Bebai,

16. Adoniya, Bigwai, Adini,

17. Ateri, Hezekia, Azuri,

18. Hodia, Hashumu, Bezai,

19. Harifu, Anathothi, Nebai,

20. Magpiashi, Meshulamu, Heziri,

21. Meshezabeli, Sadoki, Yadua,

22. Pelatia, Hanani, Anaya,

Nehemia 10