Nehemia 10:5-16 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Harimu, Meremothi, Obadia,

6. Danieli, Ginethoni, Baruku,

7. Meshulamu, Abiya, Miyamini,

8. Maazia, Bilgai na Shemaya.

9. Pia majina ya Walawi: Yeshua, mwana wa Azania, Binui, wazawa wa Henadadi, Kadmieli.

10. Na ndugu zao waliotia sahihi ni: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

11. Mika, Rehobu, Hashabia,

12. Zakuri, Sherebia, Shebania,

13. Hodia, Bani na Beninu.

14. Majina ya viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-moabu, Elamu, Zatu, Bani,

15. Buni, Azgadi, Bebai,

16. Adoniya, Bigwai, Adini,

Nehemia 10