Nehemia 10:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani, mzawa wa Aroni, atakuwa na Walawi wanapopokea zaka. Halafu Walawi watapeleka sehemu ya kumi ya zaka zote zilizotolewa katika nyumba ya Mungu kwenye vyumba na ghala.

Nehemia 10

Nehemia 10:34-39