Nehemia 10:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikiwa watu hao wanaleta bidhaa au nafaka kuuza siku ya Sabato, sisi hatutanunua siku hiyo wala siku nyingine yoyote iliyo takatifu. Mwaka wa saba hatutailima ardhi na madeni yote tutayafuta.

Nehemia 10

Nehemia 10:28-39