Mwanzo 7:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Vilevile chukua ndege wa angani dume na jike, saba saba, ili kuzihifadhi hai aina zao duniani.

4. Baada ya siku saba, nitanyesha mvua nchini siku arubaini mchana na usiku, na kila kiumbe hai nilichokiumba duniani nitakiangamiza.”

5. Noa akafanya yote kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru.

6. Noa alikuwa na umri wa miaka 600 wakati gharika ilipotokea nchini.

Mwanzo 7