Mwanzo 6:7 Biblia Habari Njema (BHN)

hivyo akasema, “Nitamfuta kabisa duniani binadamu niliyemuumba; nitafutilia mbali pia wanyama wa porini, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Ninasikitika kwamba niliwaumba duniani.”

Mwanzo 6

Mwanzo 6:3-17