Mwanzo 6:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Mwenyezi-Mungu akasema, “Roho yangu haitakaa ndani ya binadamu milele, maana yeye ni wa kufa tu. Basi, hataishi zaidi ya miaka 120.”

Mwanzo 6

Mwanzo 6:1-13