Mwanzo 50:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hali kadhalika, Yosefu alifuatana na jamaa yake yote, ndugu zake na jamaa yote ya baba yake Yakobo. Katika eneo la Gosheni walibaki watoto wao tu pamoja na kondoo, mbuzi na ng'ombe wao.

Mwanzo 50

Mwanzo 50:1-13