Mwanzo 50:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yosefu akafariki kule Misri, akiwa na umri wa miaka 110. Nao wakaupaka mwili wake dawa usioze, wakauweka katika jeneza kule Misri.

Mwanzo 50

Mwanzo 50:16-26