Mwanzo 50:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika katika uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, ngambo ya mto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamfanyia baba yake marehemu matanga ya siku saba.

Mwanzo 50

Mwanzo 50:7-14