Mwanzo 48:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Yosefu alipoona kwamba baba yake ameuweka mkono wake wa kulia juu ya kichwa cha Efraimu hakupendezwa. Basi, akaushika mkono wa baba yake, akitaka kuuondoa juu ya kichwa cha Efraimu auweke juu ya kichwa cha Manase.

Mwanzo 48

Mwanzo 48:16-22