Mwanzo 48:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Macho ya Israeli yalikuwa hayaoni vizuri kwa sababu ya uzee. Basi, Yosefu akawasogeza wanawe karibu na baba yake, naye akawabusu na kuwakumbatia.

Mwanzo 48

Mwanzo 48:1-13