Mwanzo 48:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, Yosefu alipewa habari kwamba baba yake ni mgonjwa. Hivyo, akawachukua wanawe wawili, Manase na Efraimu, akaenda nao kwa baba yake.

Mwanzo 48

Mwanzo 48:1-9