Mwanzo 47:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Ardhi ambayo Yosefu hakuinunua ni ile iliyomilikiwa na makuhani. Hao hawakulazimika kuiuza ardhi yao kwani waliishi kwa posho maalumu waliyopewa na Farao.

Mwanzo 47

Mwanzo 47:20-24