Mwanzo 47:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo wakamletea Yosefu mifugo yao: Farasi, ng'ombe, kondoo, mbuzi na punda, naye akawapa chakula. Mwaka huo Yosefu akawa anawapa chakula kwa kubadilishana na mifugo yao yote.

Mwanzo 47

Mwanzo 47:15-27