Mwanzo 44:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Yuda akamkaribia Yosefu na kumwambia, “Bwana, nakuomba uniruhusu mimi mtumishi wako, nijitetee mbele yako kwa maneno machache; ninakusihi usinikasirikie, kwani wewe ni kama Farao mwenyewe.

Mwanzo 44

Mwanzo 44:14-25