Mwanzo 43:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Ghafla, Yosefu akatoka mahali hapo, kwani machozi yalikuwa yanamlengalenga kwa shauku kubwa juu ya ndugu yake, akaingia chumbani mwake na kuangua kilio.

Mwanzo 43

Mwanzo 43:21-34