Mwanzo 43:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha njaa ilizidi kuwa kali katika nchi ya Kanaani.

2. Baada ya kile chakula walichokuwa wamenunua kutoka Misri kumalizika, Yakobo akawaambia wanawe, “Nendeni tena Misri, mkatununulie chakula kidogo.”

Mwanzo 43