Mwanzo 42:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Baba yao Yakobo, akawaambia, “Mnanipokonya watoto wangu! Yosefu hayuko; Simeoni hayuko; sasa mnataka kumchukua na Benyamini. Yote hayo yamenipata!”

Mwanzo 42

Mwanzo 42:33-38