Mwanzo 41:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Farao akampa Yosefu jina la Kimisri: Safenath-panea. Akamwoza Asenathi binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni. Basi, Yosefu akaanza kuitembelea nchi nzima ya Misri.

Mwanzo 41

Mwanzo 41:38-50