Mwanzo 41:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini hata baada ya kuwala wale wanono, mtu yeyote asingeweza kutambua kwamba wamewala wenzao, kwani bado walikuwa wamekondeana kama mwanzo. Hapo nikaamka usingizini.

Mwanzo 41

Mwanzo 41:18-23