Mwanzo 40:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamjibu, “Tuna huzuni kwa kuwa tumeota ndoto na hakuna awezaye kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia, “Je, kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, niambieni ndoto zenu.”

Mwanzo 40

Mwanzo 40:3-17