Mwanzo 40:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku tatu Farao atakunyanyua kutoka gerezani na kukurudisha tena katika cheo chako. Utaweza tena kumpa Farao kikombe mkononi kama ulivyokuwa unafanya hapo awali.

Mwanzo 40

Mwanzo 40:7-18