Mwanzo 39:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mke wa Potifa alimshika joho lake na kumwambia, “Lala na mimi!” Lakini Yosefu akamwachia vazi lake mikononi mwake, akakimbilia nje.

Mwanzo 39

Mwanzo 39:3-13