Mwanzo 39:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yosefu alipochukuliwa mpaka Misri, Mmisri mmoja aitwaye Potifa ambaye alikuwa ofisa wa Farao na mkuu wa kikosi chake cha ulinzi, akamnunua kutoka kwa Waishmaeli waliomleta Misri.

Mwanzo 39

Mwanzo 39:1-5