Mwanzo 38:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.

Mwanzo 38

Mwanzo 38:2-19