Mwanzo 38:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Yuda alivitambua vitu hivyo, akasema, “Tamari ni mwadilifu kuliko mimi. Ni kweli, maana sikumwoza kwa mwanangu Shela.” Tokea siku hiyo Yuda hakulala tena na Tamari.

Mwanzo 38

Mwanzo 38:24-30