Mwanzo 37:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafanyabiashara Wamidiani walipofika mahali hapo, hao ndugu wakamtoa Yosefu katika shimo, wakamwuza kwa Waishmaeli kwa bei ya vipande ishirini vya fedha; nao wakamchukua Yosefu hadi Misri.

Mwanzo 37

Mwanzo 37:19-31