Mwanzo 37:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini alipomsimulia baba yake na ndugu zake ndoto hiyo, baba yake alimkemea akisema, “Ni ndoto gani hiyo uliyoota? Je, itatulazimu mimi, mama yako na ndugu zako kuja kuinama chini kwa heshima mbele yako?”

Mwanzo 37

Mwanzo 37:7-17