Mwanzo 36:40-43 Biblia Habari Njema (BHN)

40. Wakuu wa makabila yaliyotokana na Esau, kadiri ya makabila yao na makazi yao walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,

41. Oholibama, Ela, Pinoni,

42. Kenazi, Temani, Mibsari,

43. Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila yaliyotokana na Edomu, yaani Esau, baba yake Edomu; wametajwa kulingana na makazi yao katika sehemu za nchi walizomiliki.

Mwanzo 36