Mwanzo 36:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kora, Gatamu na Amaleki, kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake. Hao wote ni watoto wa kiume wa Elifazi katika nchi ya Edomu, waliotokana na Ada, mkewe Esau.

Mwanzo 36

Mwanzo 36:11-23